Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Lowassa, Mbowe Watua Alipouawa Alphonce Mawazo ... Waongoza Mazishi yake ... Tazama matukio kamili hapa ....

Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe na aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho Mhe. Edward Lowassa pamoja na viongozi mbalimbali wakitazama eneo ambalo Alphonce Mawazo alifanyiwa kitendo ya kinyama cha kukatwakatwa mapanga na watu wanaosemekana ni wafuasi wa CCM ikiwa ni umbali mchache kutoka kutuo cha polisi na ofisi za CCM katika barabara kuu inayoelekea Geita kutokea Busanda.
Umati mkubwa wa wakazi wa Jimbo la Busanda waliojitokeza kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa mgombea ubunge na M/kiti wa Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo.
Mwili wa Marehemu Alphonce mawazo ukipokelewa na wakazi wa jimbo la Busanda ambako alikuwa akiwania Ubunge katika jimbo hilo
Viongozi wa CHADEMA pamoja na wanaCHADEMA wameungana kwa pamoja katika shughuli za mazishi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Geita, marehemu Alphonce Mawazo ambaye aliuawa wiki mbili zilizopita.
Mazishi hayo yamefanyika leo November 30 2015 Kijijini kwao Chikobe Geita… hapa ninazo picha zote kwenye mazishi ambayo viongozi wa juu wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Salum Mwalimu na mzee Edward Lowassa walikuwepo pia.
CD
.
CDM II
.
CDM III
CDM IV
Mtoto wa marehemu Mawazo akiwa anaweka udongo kaburini huku ameshikiliwa na Godbless Lema, Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini (CHADEMA)
CDM VI
.
CDM VII
Mbunge wa Jimbo la Hai Kilimanjaro, Freeman Aikael Mbowe
CDM X
Salum Mwalimu
CDMIX
#RIPMawazo.
Credit: Millard Ayo
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top