Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SAMIA AZIDI KUFUNIKA

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Samia suluhu, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Septemba 1, 2015, katika eneo la Chilonwa Nzali, jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.
 Wananchi wakiwa katika mkutano huo.
Mmoja wa wajumbe wa kamati ya Kampeni ya Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu, Ummy Mwalimu, akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Septemba 1, 2015, katika eneo la Chilonwa Nzali, jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.
 Shamrashamra za ngoma zikihanikiza, kabla ya Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, kabla ya Mama Samia Suluhu, kuhutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika Septemba 1, 2015, katika eneo la Chilonwa Nzali, jimbo la Chamwino mkoani Dodoma.
 Mgombea ubunge wa jimbo la Kongwa, Job Ndugai, akihutubia mkutano wa kampeni za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia katika eneo la Kigwingwili, katika jimbo hilo mkoani Dodoma jana,  Septemba 1, 2015.
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akipokea wananchama saba wapya kutoka Chadema, katika mkutano wa kampeni aliofanya eneo la Mazae, jimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma, jana
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top