Rais
wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbalimbali
alipohudhuria katika Ufunguzi wa Mnara wa Kumbukumbu wa Miaka 50 ya
Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akifungua kitambaa kuashiria ufunguzi
wa Mnara wa Kumbukumbu wa Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini
Zanzibar.
Mke
wa Rais wa Zanzibar mama Mwanamwema Shein akiwa pamoja na Mke wa Makamo
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman katika sehemu ya juu ya
Mnara wa Kumbukumbu wa Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein akiwa pamoja na Mke wake mama
Mwanamwema Shein wakitembelea sehemu ya Mkahawa unaozunguuka juu ya
Mnara wa Kumbukumbu ya Miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein katikati akipatiwa maelezo na Mshauri
wa Ujenzi wa mnara Habibu Nnur wakwanza kulia alipotembelea sehemu
mbalimbali za mnara baada ya kuufungua Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk Ali Mohomed Shein akielezea jambo alipooneshwa kamera ya
kuona sehemu za mbali wakati mtu akiwa juu ya mnara wa kumbukumbu wa
miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein akiangalia sehemu za mbali kwa
kutumia kamera maalum zilizowekwa juu ya Mnara wa kumbukumbu wa miaka 50
ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar Dk,Ali Mohamed Shein akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mnara wa
kumbukumbu wa miaka 50 ya Mapinduzi Michenzani mjini Zanzibar.
PICHANA YUSSUF SIMAI ALI-MAELEZO ZANZIBAR.
Post a Comment