Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Jux: Vanessa amebadili maisha yangu


Jux n vee-1
Mapenzi ya mwimbaji wa R&B Juma Jux na Vanessa Mdee a.k.a Vee Money sasa yamefikia kwenye ‘climax’. Licha ya kukiri hadharani kuhusu uhusiano wao lakini sasa kila mmoja wao amekuwa tayari kuelezea jinsi anavyompenda mwenzie hadharani ikiwa ni ishara ya kuwa mahaba yako kileleni.

Jux katika kusheherekea siku yake ya kuzaliwa ambayo ilikuwa ni Sept 1, aliamua kuifanya kuwa siku maalum kumuandikia barua ya mapenzi Vanessa, lakini haikuwa barua ya kawaida kama tulivyozoea bali ni barua ya moyo wake kumzungumzia jinsi alivyobadili maisha yake toka wamekuwa wapenzi.
“Tomorrow is my birthday nitaifanya maalum kwa msichana aliye badilisha maisha yangu. Nitaiweka wazi barua ya moyo wangu ambayo huwa naisoma kila siku kwenye nafsi yangu.” Aliandika Jux Instagram siku moja kabla ya birthday yake.
Kupitia kipindi cha Ala za Roho cha Clouds Fm, Jux akiwa na Vanessa walipata nafasi ya kuzungumzia mengi kuhusu uhusiano wao, na ndipo Jux alipewa nafasi na Diva kuisoma ile barua yake ya moyo kuhusu Vanessa.
Yafuatayo ni mambo sita ambayo Jux aliyasema kuhusu jinsi Vanessa alivyobadilisha maisha yake toka wawe couple.
1. Cha kwanza Jux alisema kuwa toka amekuwa na Vanesa Mdee mwaka 1 na miezi 8 sasa hajawahi kumcheat na msichana mwingine yeyote.
“Vanessa ni msichana wangu ambaye, huu ni ukweli naongea…ni mahusiano yangu ambayo nimekuwa na Vanessa halafu sijawahi kuwa na msichana mwingine yeyote, samahani kwa ma ex wangu nilikuwa nao lakini nilikuwa na maside chicks..Ni msichana ambaye nimekuwa nae na sijawahi kuwa na mwanamke mwingine yeyote kwa muda wa mwaka mmoja na miezi karibia nane.” – Jux
2.Kitu cha pili Jux alisema kuwa Vanessa amekuwa msaada mkubwa sana kwenye muziki wake kiasi ambacho hadi sasa kuna hatua kubwa ambayo ameipiga kutokana na miongozo yake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top