MR BLUE
Hawa
ndio wasanii wanaokubalika sana na watoto wa kike wanapoimba jukwaaani
kelele nyingi sana upigwa na wasichana pindi waingiapo kwenye stage kwa
nyimbo zao,mbwembwe zao na hata mapozi yao.ninao baaath hapa ambao ni
vipenzi vya mabinti katika sehemu mbalimbali wanazopiga kazi hasa hsa
pale NEW MAISHA CLUB kwa mujibu wa Hyper man hk ambae kwa kiasi kikubwa
yeye ndio uendesha show izo alisema pindi atangazapo majina ya jamaa hao
kuwahita kwenye stage upewa shangwe nyingi sana jukwaa,hawa wasanii
upendwa sana na mademu asikwambie mtu alimaliza kwa kusema hivyo.
DULLY SYKES
Hakuna
msanii mwenye pozi na hasie na papara jukwaani kama DULLY SYKES ANAIMBA
KWA MAPOZI NA KILA NGOMA YAKE NI HIT SONG kwahiyo upata shangwe nyingi
sana jukwaani
ALI KiBA
Uwezo wake wakuchezea sauti wakati anaimba uvutia mademu sana na kujikuta wakipiga kelele nyingi kupita maelezo.
DIAMOND PLATNUMZ
Guys sina mengi yakuzungumza kwenye hili ila huyu ndio kiboko yao moja kati ya wasanii wanaopendwa na wasichana huyu ndio namba
moja kwa tanzania kwa mujibu wa hyperman hk amesema hawapojukwaaani
pale new maisha club akitangaza msanii anaekuja ni diamond platnum izo
kelele zake hata mziki hausikiki na mabinti ujikuta wakichanganyikiwa
kabisa na wengine kukimbia mpaka mabwana zao na kwenda kutunza wakishuka
jukwaani kipondooo.
DIMPOZI KWA POZI
Ngoma zake zenye maudhui ya MAPENZI zinawafanya wakidada kuzipenda sana na akiwapo jukwaaani upigiwa sana shangwee.
MC HYPERMAN HK
mc anaendesha show mbalimbali za wasanii hapa nchini.
T.I.D MNYAMA
Huyu
hapa sasa miuno yake na uchale anaouleta jukwaani ndio unaofanya watu
wampigie sana shwangwe kwamfano kuna siku maisha club aliiimba na
kucheza akapanda juu ya dj cabin na akaanza kukatika miuno zilisisikika
sauti za kike tu du mnyama noumerrr.
Uzuri
wa sauti yake na uwezo wake wakuimba jukwaaani ndio mana hata mwenyewe
ujiita kipenzi cha mabinti huyu jamaa WASICHANA wengi uimbanae kwenye
stage kwamana ya kuzikariri sana nyimbo zake na kumpigia shangwe nyingi
sana na kutunzwa majihelayakutosha tu.
BOB JUNIOR
DAAAAH
Sijui nikwambiaje huyu jamaaa hatari sana yaaani mabinti wakisikia bob
junior yupo jukwaani wanajazana sana hatariiiiiiiiiiiiii na shangwe
zakutosha.
JUX
Huyu hapa mkali mwengine anaetamba na ngoma ya uzuri wako,hivi karibuni atazindua video yake ya UZURI WAKO pale New maisha club dar siku ya TAR 31.Siku hiyo najua totoz zinakuwa zakumwaga kwasababu huyu ni moja kati ya wasanii wasafi na wanatupia sana pamba na ni kivutio kikubwa sana cha mademu akiwa jukwanani.
Huyu hapa mkali mwengine anaetamba na ngoma ya uzuri wako,hivi karibuni atazindua video yake ya UZURI WAKO pale New maisha club dar siku ya TAR 31.Siku hiyo najua totoz zinakuwa zakumwaga kwasababu huyu ni moja kati ya wasanii wasafi na wanatupia sana pamba na ni kivutio kikubwa sana cha mademu akiwa jukwanani.
Post a Comment