Mnenguaji wa kike nchini Misri, amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja kwa kosa la kuonekana kwenye video yenye utata mtandaoni.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama moja nchini humo kwa kosa la
kuchochea ngono baada ya kuonekana katika video yenye utata katika
mtandao.
Mrembo huyo aliyetambulika kwa jina la Reda al – Fouly alitiwa
mbaroni, mara baada ya video hiyo ya miondoko ya Pop
kuoneshwa hadharani na baadaye kudhihakiwa kuwa imeenda kinyume na
tamaduni za kiarabu.
Muimbaji huyo wa kike alitakiwa kufafanua mavazi -aliyoyava kwenye wimbo unaoitwa Sib Eddi au let it go of my hand.
Hata hivyo inadaiwa kuwa mkurugenzi wa video hiyo, Wael Seddiki ,
aliondoka nchini Misri wakati wimbo huo ulipoanza kupondwa kwenye
mitandao ya kijamii ili kukwepa lolote ambalo lingeweza kutokea..
Video Yenyewe Iko Hapo Chini
M
Video Yenyewe Iko Hapo Chini
Post a Comment