Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mwanamke Abambwa na Sungusungu Akifanya Mapenzi Kwenye Kichaka na Dereva teksi.

 

Mwanamke mmoja mwenye umbo la miraba minne ambaye unaweza kumuita Bonge baada ya jina lake kutopatikana mara moja, wikiendi iliyopita alifikwa na msala mkubwa alipo bambwa na sungusungu akifanya mapenzi kwenye kichaka na dereva wa teksi.
 
Chanzo chetu kilidai kuwa Bonge huyo alikuwa na wenzake wakitoka kwenye kicheni party, walipofika maeneo ya Sinza-Afrika Sana jijini Dar, aliwachenga wenzake  baada ya kumpata dereva huyo ambaye aliahidi kumpa kiasi f’lani cha fedha ili ‘wakalicheze segere’ usiku mnene.

Wakiwa katikati ya mchezo, jirani mmoja alisikia miguno ya kimahaba hivyo alipenyua pazia la dirisha lake na kuwashuhudia laivu kitendo ambacho kilimkera ambapo alitoka nje na kwenda kuwaita sungusungu ambao walifika na kuwatimua wawili hao huku bonge akitimka mbio na kuacha nguo yake ya ndani na kadi ya mwaliko wa kitchen party.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top