Spika
wa Bunge la Afrika Mashariki Mh.Daniel Kidega akimkaribisha Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika jengo la bunge mjini Bujumbura Burundi
ambapo alilihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongozwa kuingia katika jengo la Bunge mjini
Bujumbura Burundi ambapo alilihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika
Mashariki.
Sehemu Wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki wakifatilia Hotuba ya Rais Kikwete.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake katika Bunge la Afrika Mashariki huko Bujumbura Burundi leo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wabunge wa
Afrika Mashariki muda mfupi baada ya kuwahutubia mjini Bujumbura Burundi
leo(picha na Freddy Maro)
Post a Comment