Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akipokelewa na Mkuu mpya wa Wilaya ya Hai,Mh.Anthony
Mtaka,mara baada ya kuwasili na kupokelewa wilaya ya Hai tayari kwa kuanza ziara
ya wilayani humo.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akishiriki kuchimba msingi katika shule ya msingi
Modio-Masama Mashariki,Kinana alikagua na kujionea ujenzi mpya wa shule hiyo
msingi Modio iliyopata janga la tetemeko na kubomoka.
katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akipita kwenye moja ya daraja maarufu sana wilayani
Hai,Dara la MNEPO lililopo katika kitongoji cha Kiyungi kijiji cha
Mijongweni,wilayani Hai mkoani Kilimanjaro.
ujenzi
wa daraja jipya la MNEPO ambalo lipo katika hatua za mwisho kukamilika
ukiendelea
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akikagua ujenzi wa daraja jipya la MNEPO ambalo lipo
katika hatua za mwisho kukamilika,lililopo katika kitongoji cha Kiyungi kijiji
cha Mijongweni,wilayani Hai mkoani Kilimanjaro.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza na baadhi ya wakazi jamii ya kimasai kutoka
kijiji cha Mtakuja,wilayani Hai,mara baada ya kusikiliza mgogoro wao wa ardhi na
kampuni ya KADCO,ambapo Ndugu Kinana ameahidi kuutafutia ufumbuzi mgogoro huo
ambao umedumu kwa miaka mingi.
Baadhi
ya wakazi jamii ya kimasai kutoka kijiji cha Mtakuja,wilayani Hai,wakimshangilia
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana kwa staili ya aina yake,alipokuwa akiondoka
kijijini hapo mara baada ya kuzungumza nao kusikiliza mgogoro wao wa ardhi na
kampuni ya KADCO,ambapo Ndugu Kinana ameahidi kuutafutia ufumbuzi mgogoro huo
ambao umedumu kwa miaka mingi. SOMA
HAPA KUHUSIANA NA MGOGORO HUO
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiongozwa kukagua chumba kipya cha mionzi,pichani
nyuma ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Mh.Leonidas Gama.
Katibu
wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akifanya majaribio ya uchunguzi juu ya
mkono wake kupitia mashine mpya mionzi,iliyowekwa katika chumba hicho cha
mionzi.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi
wa hospitali ya wilaya ya Hai,mara baada ya kukagua chumba kipya cha Mionzi
(X-Ray).
Baadhi
ya Wakazi wa mji wa Bomang'ombe wakishangilia jambo katika mkutano wa hadhara
uliofanyika mjini hapo wilayani Hai,mkoa wa Kilimanjaro.
Katibu
wa NEC,Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa mji wa Bomang'ombe
jioni ya leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Snow View
mjini hapo wilayani Hai,mkoa wa Kilimanjaro.
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa mji wa Bomang'ombe
jioni ya leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Snow View wilayani
Hai,mkoa wa Kilimanjaro.
Wananchi
wa Bomang'ombe wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana
alipowahutubia jioni ya leo katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini hapo
wilayani Hai,mkoa wa Kilimanjaro
Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa hospitali ya
wilaya ya Hai,kabla ya kukagua chumba kipya cha Mionzi
(X-Ray).
Post a Comment