Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Askari wa JKT Wakusanyika Muhimbili Kumjulia Hali Mwenyekiti wao Aliyetekwa


Vijana mbalimbali ambao walipata mafunzo kutoka Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), leo wamekutana katika eneo la Msimbazi Center jijini Dar es Salaam, kisha kuelekea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kumjulia hali mwenyekiti wao George Mgoba ambaye alitekwa na watu wasiojulikana.
Mwenyekiti wa JKT, George Mgoba akiwa wodini.

Askari wakiimarisha usalama eneo la Hospitali ya Muhimbili.
Baadhi ya wanajeshi wa JKT wakiingia hospitalini.
Baadhi ya wanajeshi wa JKT wakiingia hospitalini.
Baadhi ya askari wa JKT wakiwasili Muhimbili.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top