Makamu Mwenyekiti wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara,Ndg. Phillip Mangula (wa pili kulia) na
Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa (CCM),Mh. Pius Msekwa (kushoto) wakiwa
kwenye picha ya pamoja na Mgombea wa Nafasi ya uenyekiti wa Serikali ya
Mtaa wa Osterbay,Ndg. Zefrin Kimolo Lubuva (wa pili kushoto) mara baada
ya uzinduzi wa kampeni za kuwawanadi Wagombea wa nafasi mbali mbali
ndani ya CCM katika Mtaa wa Osterbay,zilizofanyika juzi jioni katika
Viwanja vya Farasi
.
Mgombea wa Nafasi ya
uenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Osterbay,Ndg. Zefrin Kimolo Lubuva (wa
pili kulia) akisalimiana na Mh. Anne Abdallah ambaye ni Mbunge na
Kiongozi Mwandamizi wa CCM wakati wa uzinduzi wa kampeni za kuwawanadi
Wagombea wa nafasi mbali mbali ndani ya CCM katika Mtaa wa
Osterbay,zilizofanyika juzi jioni katika Viwanja vya Farasi.
Post a Comment