Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JENGO LISILOKALIWA NA WATU LAPOROMOKA HUKO ZANZIBAR


Askari wa zima moto wakiwa eneo la tukioa baada ya jengo moja kuporomoka mjini Zanzibar jana asubuhi huko maeneo ya Shangani karibu na Kijiwe cha 'Jaws Corner', Jengo hilo lililokuwa wazi bila kukaliwa na watu kwa kipindi kirefu cha takriban miaka 10, halikusababisha kifo wala majeruhi katika ajali hiyo, na chanzo cha kuanguka kwake bado hakijaweza kujulikana kwa haraka. 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top