Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WADAU WAZIDI KUMSHAMBULIA LUNDENGA JUU YA MISS TANZANIA 2O14


Daah Ona jinsi Lundenga unavyoshusha hadhi ya mashindano haya, ona jinsi unavyoaibika na kutungiwa sms zinazosambaa mitandaoni yote hii ni kwasababu ya fitna iliyoendelea....kwakweli hii Miss haijawahi kutokea Tanzania, wa Tanzania wa sasa sio wa zamani wa kuburuzwa buruzwa tuuuu, wanaelwa kila kitu, maneno mengi yameongelewa na Lundenga usijiaibishe katika kipindi hiki kigumu.... daaah inasikitisha but naamini mtalifanyia kazi
na kutujuza wa Tz maana ni mambo ya ajabu vitu vya ajabu, mara miaka 18, mara 23, mara 25 ilimradi kila mmoja anasema lake.
Lundenga hebu rudisha Miss Tanzania ya zamani watu wakisikia Miss Tanzania inakuja tunaanza kutafuta nguo mwezi mmoja maana lilikuwa moja ya shindano kubwa Tanzania, ila kwa sasa si apeche si aloloo.... jua umewaudhi sana watu tena sana, mbona kwa Briggite, Hapiness hawakusema?? iweje huyu?? kwa kipi haswa watu wamuonee wivu yeye?? Sitti anaweza akashindana na Ms Alfred kwa kitu chochote?? kwanini hawakuwasema hao waliopita wampinge yeye BIG NO Mr Mkurugenziii....
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top