Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

FEZA KESSY NAYE AFUNGUKA KUHUSU MISS TANZANIA.

Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy. “Yeye ndiye anajua ukweli, arudishe kiroho safi, tumche Mungu, katika maisha haya, hasa katika tasnia ya burudani, watu wengi sana wanadanganya, huenda alifanya hivyo bila sisi kujua nia yake, na ninaomba pia kama atafanya hivyo,
watanzania tumsamehe,” alisema Feza, ambaye pia alishinda taji la Miss Dar City Center na Miss Ilala mwaka 2005.

MSHIRIKI wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy, amemtaka mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuachia ngazi kama kweli madai dhidi yake yanamgusa nafsi yake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top