Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAKAZI WA IRINGA WABURUDIKA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA 2014 NDANI YA UWANJA WA SAMORA.

 Wasanii wa muziki wa Bongofleva Ommy Dimpo na Vanessa Mdee a.k.a Vmoney wakilishambulia jukwaa kwa pamoja mbele ya umati wa mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014  lililofanyika jana ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa,huku miluzi na shangwe zikisikika kila kona ya uwanja.Tamasha la Fiesta linatarajiwa kufanyika kesho mjini Morogoro katika uwanja wa Jamuhuri ambapo wasanii mbalimbali wa bongofleva watatumbuiza.
Baadhi ya Mashabiki wakishangqweka.
 Msanii Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya a.k.a Bongofleva,Selemani Msindi a.k.a Afande Sele Mfalme wa Rhymes,akiimba kwa hisia kubwa juu ya jukwaa la tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika jana ndani ya uwanja wa Samora mkoani Iringa.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Linah Sanga akionesha mumahiri wake kucheza jukwaani akiwa sambamba na mmoja wa madansa wake mahiri katika tamasha la burudani la fiesta lililofanyika jana ndani ya uwanja wa samora mkoani Iringa.
Sehemu ya umati wa watu waliojitokeza kwenye tamasha hilo la Fiesta 2014 ndani ya Samora mjini Iringa hapo jana.
Anajiita Rais wa Manzese,jina lake la kisanii anajiita Madee kutoka kundi la TIP TOP CONECTIONs,akiimba mbele ya umati wa wakazi wa mji wa Iringa waliojitokeza kwa wingi kwenye tamasha la Fiesta ndani ya uwanja wa Samora hapo jana.Tamasha la Fiesta kesho linatarajiwa kufanyika ndani ya uwanja wa jamuhuri mkoani Morogoro.
Wakazi wa mji wa Iringa waliojitokeza ndani ya tamasha la Fiesta wakishangweka kwa raha zao.PICHA NA MICHUZI JR-IRINGA.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top