September
26 ilikua ni siku ambayo mrembo kutoka Tanzania Wema Sepetu
alisherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo ndani ya siku yake hii ukitoa
party aliyoifanya kulikuwa na vitu mbalimbali vya kuvutia.
Siku hiyo Diamond platnumz aliamua kumzawadia zawadi ya gari mpenzi
wake Wema Sepetu gari aina ya Nissan Murano ambapo alipost instagram na
kuandika maneno yafuatayo yaliyoambatana na picha ya zawadi hiyo.
Mbali
na zawadi aliyoitoa Diamond Platnumz ya gari hilo pia Meneja wake
Martin Kadinda nae alimpatia Wema Sepetu zawadi ya Gari aina ya BMW mpya
kabisa ikiwa na namba mpya za sasa.
Sasa baada ya zawadi hizo kuonekana eti umoja wa Ma-Girlfriend
Tanzania nao wameamua kutoa Ya moyoni kwa Ma-Boyfriend wao kuhusu
birthday zao inapofika muda wa kusherehekea,hiki ndicho walichokiandika.
Post a Comment