Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu.
MPIGA PICHA na
Msanifu kurasa (Graphic Designer), Idris Sultan anayefanya kazi kwenye
kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania
aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother
Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu
mshiriki wa pili.
Post a Comment