Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Baada ya matokeo mabaya – hiki ndicho alichosema Rais wa Simba

 




IMG_7629.JPGRais Simba, Evans Aveva kwa mara ya kwanza amefungua mdomo wake na kulizungumzia suala la sare mbili katika mechi zao za Ligi Kuu Bara.
Aveva amewataka mashabiki na wanachama wa Simba kuungana na kuwa pamoja katika kipindi ambacho alikiita hawajapoteza wala kufanya vizuri.
Lakini akaenda mbali zaidi na kusema anamuamini Kocha Patrick Phiri, hivyo wampe muda kidogo kwa kuwa wanapita kwenye kipindi cha mpito. “Hatujafanya vibaya wala kufanya vizuri, sare mbili na hakuna mchezo tuliopoteza. “Ni suala la kujipanga ili kuangalia tutafanya nini katika mechi zinazofuatia. “Uongozi una changamoto nyingi, utaona tulifanya kila linalowezekana kwenye uchaguzi. “Baadaye kwenye usajili, lakini sasa bado mambo hayajakaa vizuri, ni suala la kupambana tu,” alisema Aveva.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top