Miss Tanzania 2006 ambae bado analinda jina lake lisipotee midomoni
mwa watu Wema Abraham Sepetu, ameshangazwa na watu wake wa karibu kwa
zawadi alizopokea.
Wema alipokea gari mbili ambapo moja alipewa na Mpenzi wake Chibu
Dangote "Diamond Platnumz" aina ya Nissan Murano ipo kwenye hapo chini
pamoja na BMW ambayo hii wengi hawakujua imetoka kwa nani lakini baadae
ukweli umetambulika kwamba imetoka kwa Kaka Manager Martin Kadinda.
Martin amemkabidhi Wema gari hilo pamoja na kadi ya Gari ikiwa
imeandikwa jina lake.
Hii ndio Nissan Murano aliyopewa na Diamond
Martin Kadinda akimuonesha Wema Sepetu kadi ya gari
Wema Sepetu baada ya kutoka nje na kuona gari hiyo
Post a Comment