Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AJALI MBAYA TENA, YAUA 3 NJOMBE


Taswira baada ya ajali hiyo.
WATU watatu waliokuwa wakitembea kwa mguu wamepoteza maisha papo hapo baada ya kugongwa na gari dogo lililopoteza mwelekeo mkoani Njombe usiku wa kuamkia leo.
Gari dogo baada ya kuligonga lori la mafuta.
Gari hilo lilipoteza uelekeo baada ya kumulikwa na lori la mafuta lililokuwa mbele yake na kuwagonga watu hao kisha kulivaa hilo lori na kuharibika vibaya. Watu waliokuwa ndani ya lori hilo wamejeruhiwa vibaya.
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya ajali hiyo iliyoua watu watatu.
Lori la mafuta baada ya ajali.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top