Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CCM KUMCHUNGUZA MH PINDA KAMA AMEFANYA KAMPENI WAKATI AKITANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS 2015 ILI IMSHIKISHE ADABU



Hapa nchini Chama tawala CCM kimesema kuwa kitafanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua dhidi ya Waziri mkuu wa nchi hiyo Mizengo Pinda iwapo matamshi yake ya kutangaza nia ya kuwania Urais wa nchi hiyo kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani uliambatana na vitendo vya kufanya Kampeini.

Awali chama hicho kiliwahi kuwaonya baadhi ya vigogo kadhaa ambao walionyesha kuanza kufanya kampeini mapema ambapo sasa kufuatia hatua ya Kigogo huyo ambaye ni Waziri mkuu aliyeko madarakani inaanza kufungua mwanya katika mbio za kuelekea Ikulu hapo mwakani.


Erick David Nampesya amezungumza na Katibu wa Itikadi wa CCM Nape Nnauye ameanza kwa kusema kutangaza nia ya kuwania Urais siyo kosa kisheria.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top