Basi la Hood lililopata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha.
Raia wakishuhudia ajali ya basi la Hood ilivyotokea.
Basi la Hood lililokuwa likitoka Arusha
kwenda Iringa limepata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha.
Basi hilo lilitaka kugongana uso kwa uso na lori la mizigo, ndipo katika
kukwepana ikatokea ajali hiyo. Abiria wa basi wamenusurika , ila lori
lilidumbukia darajani na hakukuwa na mtu aliyepoteza maisha.
on Wednesday, August 27, 2014
Post a Comment