Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ALIYEKUWA MSHINDI WA SHINDANO LA MWANAMAKUKA 2013 AFARIKI DUNIA JIJINI DAR.

  
Marehemu Bi Aziza enzi za uhai wake.
Kikundi cha Unity Of Women Friends,Kupitia mradi wao wa Mwanamakuka Awards  na Washirika wake,Benki ya Wanawake TWB na Clouds Media Group,Wana tangaza kwa masikitiko makubwa ya kumpoteza mshindi wa mwaka jana 2013,Bi Aziza  Mbogolume (pichani).
Bi Aziza amefarika mapema jana mchana jijini Dar es salaam,mazishi yake yanatarajiwa kufanyika leo mnamo majira ya saa 9,na msiba upo nyumbani kwake Magomeni mwembechai.Aziza alikuwa ni Mwanamke jasiri mwenye uthubutu wa kufanya biashara kupitia kipaji chake cha Kuchora .
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI  PEMA PEPONI-AMIN
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjyPIrqySDNyCteWncBHyLw7qJKCo9RjJV1vwqxa4K8A7Hv1YfunurZG_epVPa5XO30Z61ShD87UW-GcbIXuXi64JhyphenhyphenSFzqMKGAODL_ulLwxc5_Lo_r1Ghmg_j6p81BJglpy-0Yv2sfxw/s1600/03.jpg
Aziza Mbogolume (wa pili kulia) enzi za uhai wake wakati akipokea mfano wa hundi baada ya kushinda tuzo ya Mwanamakuka 2013 kutoka kwa Mke wa Makamu wa Rais, Aisha Bilal.
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjYJALZmXHcAa6LsL66lhkbJ5j4HvLVQTfzSSE8oA3KsqiR8Xwf0AGRCGSL7EP2S6sNnumMyVjxqreR2mDelCijRKZG64Zgha5ymX8WL493LqWCrF_Qp01cGkB8-75uVxKd8Pb3aT29wU4/s640/DSC_3104.JPG
Baadhi ya viongozi waratibu wa shindano la Tuzo za Mwanakuka wakistaajabia kazi za mikono ya Aziza Mbogolume (wa pili toka kushoto) enzi za uhai wake katika maonesho ya mwaka huu yaliyofanyika Escape 1 Mikocheni jijini Dar
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top