Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Wakamatwa wakiuza viungo vya binadamu


Kamishna wa jeshi Polisi katika mji wa Kwara nchini Nigeria Mr Ambrose Aisabor,amethibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa wawili miongoni mwa wengine, waliokuwa wakijishughulisha na uuzaji wa viungo vya binadamu.
Akihojiwa na waandishi wa habari kamishna Ambrose alisema watuhumiwa Amos Kareem na Abubakar Ladan,walikamatwa kufuatia msako mkali ulio endeshwa na jeshi hilo na baada ya kuhojiwa kwa masaa kadhaa watuhumiwa walikiri kuhusika na tukio hilo.

Aidha kamishna Ambrose amesisitiza kuwa jeshi hilo bado linaendelea na uchunguzi ili kuwabaini watuhumiwa wengine.bofya kusoma zaidi>

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top