Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UZINDUZI WA TAMASHA LA UTALII CUP MTO WA MBU MONDULI



 Vijana wakiwa kwenye maandamano kuelekea shule ya msingi mto wa mbu kwa ajili ya kupanda miti na baadae kuelekea uwanja wa Barafu kuanza tamasha.
 Vijana wakiwa kwenye maandamano kuelekea shule ya msingi mto wa mbu kwaajili ya kupanda miti na baadae kuelekea uwanja wa Barafu kwa ajili ya kuanza tamasha.
 Vijana wakiwa kwenye maandamano kuelekea shule ya msingi mto wa mbu kwaajili ya kupanda miti na baadae kuelekea uwanja wa Barafu kwa ajili ya kuanza tamasha.
  Mkuu wa wilaya ya Monduli MhebJowika Kasunga akimkabidhi nahodha wa timu ya Zion ya Mto wa mbu Said Said kikombe baada ya kuibuka mshindi kwa kuifunga sekondari ya Rift Valley kwa goli 2-0
 Mkuu wa wilaya ya Monduli Jowika Kasunga akimkabidhi zawadi ya Ngao nahodha wa timu ya sekondari ya Rift Valley Hussein Ally
 Mkuu wa Wilaya ya Monduli Jowika Kasunga akikagua timu ya Rift Valley B, iliyocheza na Rift Valley A na kufungwa kwa jumla ya goli 2-0
 Kikundi cha sarakasi cha mto wa mbu kikiburudisha wakati wa uzinduzi wa Tamasha la michezo la Utalii Cup  katika uwanja wa barafu katika eneo la mji mdogo wa Mto wa mbu, wilayani Monduli,Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Monduli aliyekuwa mgeni rasmi wa uzinduzi wa tamasha la utalii CUP akipanda mti wa kumbukumbu katika shule ya sekondari ya Mto wa mbu. Picha na Seif Yustus
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top