Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MPIGA GITAA MAARUFU WA SKYLIGHT BAND MAREHEMU CHIRI CHALLA AZIKWA JIJINI DAR

 


Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band.
Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.
Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa Skylight band
Mkurugenzi wa Skylight Band akijadili jambo na Aneth Kushaba ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.
Gari iliyobeba Mwili wa marehemu Chiri Challa likiwasili Nyumbani kwa marehemu
Ndugu na Jamaa wakishusha Mwili wa marehemu Chiri Challa
Mwili wa Marehemu ukishushwa kwa ajili ya ibada
Mchungaji wa kanisa alipokuwa Anasali marehemu akiongoza ibada ya kumuombea Marehemu Ayoub Songoro maaru Chill challa aliyekuwa mwanamuziki na mpiga Gita wa Skylight Band.
Misa ya kumuombea Marehemu ikiendelea Nyumbani kwake Mwananyamala
Mke wa marehemu akiwa na majonzi.

Meneja wa bendi Ya Skylight Aneth Kushaba akiaga mwili wa marehemu
Waombolezaji wakiaga mwili wa marehemu
Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akiaga Mwili wa marehemu
Watoto wa marehemu wakiwa na majonzi ya kuondokewa na baba yao kipenzi
Kaka wa marehemu akiaga mwili wa mdogo wake kwa huzuni kubwa
Mwili wa marehemu ukipandishwa kwenye gari Tayari kwenda kuzikwa baada ya ibada ya kumuombea
Msafara ukielekea makaburi ya Mwananyamala kwa kopa
Mwili wa marehemu ukishushwa kaburini tayari kwa kuzikwa
Wanamuziki wenzake na marehemu wakifuatilia mazishi ya mwenzao
Mchungaji akisoma neno
Mchungaji akirusha udongo kuonyesha ishara ya kuaza maziko
Mke wa marehemu akirusha udongo ndani ya kaburini
Watoto wa kiume wa marehemu wakirusha udongo kaburini kumzika baba yao
Kaka wa marehemu akiwa akimzika mdogo wake
Mkurugenzi wa Skylight Band Justine Ndege akirusha udongo kumzika msanii wake
Meneha wa Skylight Band Aneth Kushaba akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu
Waombolezaji wakiwa wanafuatilia maziko kwa huzuni kubwa
Mchungaji akiweka msalaba kwenye kaburi la marehemu.
Untitled
Mke wa marehemu akiweka shada la maua kwenye kaburi
Watoto wa marehemu wakiweka shada la maua kwenye kaburi na Baba yao
Ndugu wa Marehemu wakiweka Shada la maua.
Mpiga Gitaa mahiri wa bendi ya Skylight Chiri Challa amezikwa Ijumaa kwenye makaburi ya Mwananyamala kwa Kopa na mamia ya watu na wanamuziki wenzie.Marehemu Chiri Challa alifariki Tar 17-04-2014 hospitali ya Taifa ya Muhimbili.Chanzo cha kifo cha marehemu ni shinikizo la damu ambapo kabla ya kifo chake alikuwa katika afya njema, lakini Usiku wa Tar 16 marehemu alidondoka gafla bafuni na ndipo alipokimbizwa hospitalini.

Madaktari walijitaidi kwa kila hali na mali kuokoa uhai wa marehemu lakini ilishindikana kutokana na shinikzo la damu kuwa kubwa sana na ndipo Chiri challa akafariki dunia,Marehemu Chiri Challa ameacha Mke na watoto wawili, Marehemu alikuwa ni mpiga gita mzoefu na mahiri ambaye amepitia karibu bendi zote kubwa na kongwe nchini kama Akudo, Fm Academia n.k na ahadi mauti yanamfika alikuwa na Skylight Band
Uongozi mzima wa Skylight band unawashukuru wale wote waliojitoa kwenye msiba huu na Mungu awabariki.
credit: sufiani mafoto web
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top