Jamaa mwenye koti akidai kwa Dereva kurudishiwa nauli yake ambayo kondacta ametokomea nayo pasipo eleweka
Abiria wakiwa wamesimama wasijue wanaenda wapi
Abiria wengine wameamua kutembea kwa Mguu baada ya usafiri kuwa shida na Kushushwa katika Magari
Hao wanaondoka sasa
Kila mmoja akihaha..
Afisa
kutoka Jeshi la Polisi akiwa amefika kwa ajili ya kuweka hali sawa na
kutuliza hali hiyo, ambapo hali kwa ni kuwa hakuna usafiri wa aina
yoyote.
Askari wa usalama wa Barabarani akiendelea kuweka Mambo sawa
Abiria wakiendelea kushuka
Konda akiwataka watu washuke
Picha na Mbeya yetu Blog
Post a Comment