Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CHID BENZ ADAIWA KUMSHUSHIA KIPIGO MPENZI WAKE WA ZAMANI, ASHONWA NYUZI 18...!!!!!

Image00001


Inasemekana April 20 Mwanadada Aisha Sued ambaye ni mkazi wa Ilala karibu na Kituo cha basi Msaada Garage amedai alishambuliwa na Chidi Benz na kuumizwa vibaya mdomoni hadi kushonwa nyuzi 18. 
Tukio hilo ambalo inasemekana lilitokea moja kati ya Bar zilizopo Ilala usiku wa sikukuu ya Pasaka taarifa zilizopo toka usiku wa Pasaka mpaka sasa hivi Chidi Benz yupo chini ya Jeshi la Polisi kituo cha polisi Pangani Ilala kwa madai ya Shambulio na kumuumiza vibaya Aisha Sued.
Image00001


Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top